Tuesday, July 8, 2014

HIVI NDIVYO BOMU LILIVYOTIKISA ARUSHA

Sehemu ya mgahawa huo ukiwa na dimbwi la damu baada ya mlipuko



Baadhi ya majeruhi wa bomu lililotupwa kwenye mgahawa uliopo eneo la Gymkhana jijini Arusha wakiwa hospitali.

WATU nane, wengi wao wakiwa ni wa asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa vibaya kwa bomu lililotupwa kwenye mgahawa uliopo eneo la Gymkhana jijini Arusha usiku wa kuamkia leo. Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.

No comments:

Post a Comment