Monday, April 27, 2015

YANGA YATANGAZA UBINGWA RASMI BAADA YA KUWATANDIKA MAAFANDE WA POLISI MOROGORO

Yanga imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kuifunga Polisi Morogoro mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, licha ya kuwa imesaliwa na mechi kadhaa kumaliza msimu wa 2014/2015. Wafungaji wa mabao ya Yanga leo ni Amiss Tambwe aliyefunga hat trick na Simon Msuva.

No comments:

Post a Comment