Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika ajali hiyo.
Miili ya marehemu wa ajali hiyo baada ya kutolewa kwenye mabasi.
Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara.
.......Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.…
Baadhi ya wakazi wa Mara pamoja na wauguzi wakiangalia maiti wa ajali hiyo
Baadhi ya wakazi wa Mara wakiwa wamekusanyika katika hospitali hiyo.
Watu takribani 45 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya mabasi ya Mwanza
Coach na j4 Express lenye namba za usajili T677 CYC lililokuwa
likitokea Sirari kwenda Mwanza kugongana na basi la Mwanza Coach lenye
namba za usajili T736 AWJ leo asubuhi.
No comments:
Post a Comment