Tuesday, August 19, 2014

AJALI MBAYA TABORA, YAUA ABIRIA 16 NA KUJERUHI WENGINE 75

WATU 16 wamepoteza maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la AM lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Mpanda kugongana uso kwa uso na basi lingine la Sabena linalofanya safari zake Mbeya - Tabora katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.


 Basi la basi la AM baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Sabena katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.

 Kushoto ni baadhi ya miili ya abiria waliopoteza maisha katika ajali hiyo. Kulia trafiki na wananchi wakiwa eneo la ajali.

 Uso kwa uso: Hivi ndivyo ajali hiyo ilivyokuwa na kuondoa uhai wa wananchi 16 na kujeruhi 75.

Habari kwa hisani ya GPL

No comments:

Post a Comment