Tuesday, June 3, 2014

POLISI FEKI WANASWA IRINGA

Brazil Nyakunga (kulia) ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale (mwenye shati la kitenge), wamekamatwa mkoani Iringa, kwa kufanya utapeli, wakijidai wao ni Askari.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi amesema maaskari hao feki, wamekuwa wakiwatapeli wakazi wa Mikoa ya Morogoro, Iringa na maeneo ya jirani.

No comments:

Post a Comment