Wednesday, June 11, 2014

MKALI WA MAJUU MSANII LIL KIM AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamuziki Lil Kim.

MWANAMUZIKI Lil Kim amejifungua mtoto wake wa kwanza ambaye ni wa kike na kumuita jina Royal Reign. Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 39 alijifungua mtoto huyo katika Kituo cha Afya kilichopo Chuo Kikuu cha Hackensack, New Jersey. Kim hajaweka wazi kuhusu baba wa mtoto huyo, japo inadaiwa ni rappa wa New York aitwaye Mr. Papers.

No comments:

Post a Comment