Friday, June 27, 2014

KAMA ULIWA HUJAMUONA MBRAZILI WA YANGA BASI TAZAMA HAPA

Coutinho akiwa katika pozi.

 Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mohammed Binda (kushoto), akiwa akiwa na Coutinho baada ya kuwasili uwanjani hapo.

 Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto (wa tatu kutoka kushoto) akimuongoza mchezaji huyo baada ya kumpokea uwanjani hapo. Wengine ni mashabiki wa Yanga waliofika uwanjani hapo kukipokea ‘kifaa hicho’.

 KIUNGO mshambuliaji raia wa Brazil, Andrey Coutinho leo ametua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  (JNIA) jijini Dar es Salaam tayari kwa kukipiga kwenye timu ya Yanga ya Dar es Salaam. Mchezaji huyo alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Yanga akiwemo msemaji wa timu hiyo, Baraka Kizuguto.

No comments:

Post a Comment