Sunday, June 15, 2014

HIVI NDIVYO IVORY COAST ILIVYOKUING'UTA JAPAN 2-1

Mshumbuliaji wa Ivory Coast, Gervinho (kushoto) akishangilia bao lake na Didier Drogba.

 Keisuke Honda akiifungia Japan bao lao dakika ya 16.

 Wilfried Bony akiifungia Ivory Coast bao la kwanza katika dakika ya 64.

IVORY Coast imeanza vizuri michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kuizamisha Japan bao 2-1 kwenye mechi ya kundi C iliyopigwa leo alfajiri. Mabao ya Ivory Coast yamewekwa kimiani na Gervinho dakika ya 66 na Wilfried Bony dakika 64 huku la Japan likifungwa na Honda 16.
VIKOSI:
Ivory Coast: Barry, Aurier, Bamba, Zokora, Boka (Djakpa 75), Tiote, Yaya Toure, Die (Drogba 62), Gervinho, Bony (Konan 77), Kalou.
Benchi: Gbohouo, Viera, Kolo Toure, Bolly, Akpa Akpro, Diomande, Gradel, Sio, Sayouba.
Kadi za njano: Bamba, Zokora.
Mabao: Bony 64, Gervinho 66.
Japan: Kawashima, Uchida, Morishige, Yoshida, Nagatomo, Yamaguchi, Hasebe (Endo 53), Okazaki, Honda, Kagawa (Kakitani 86), Osako (Okubo 68).
Benchi: Nishikawa, Gotoku Sakai, Kiyotake, Aoyama, Konno, Inoha, Saito, Hiroki Sakai, Gonda.
Kadi za njano: Yoshida, Morishige.
Mabao: Honda 16.
Mahudhurio: 40,000
Mwamuzi: Enrique Osses (Chile)

No comments:

Post a Comment