Tuesday, May 13, 2014

OOOH MY GOD.... TAZAMA JINSI ALBINO ALIVYOUAWA KINYAMA NA KUKATWA MGUU WAKE

Mwili wa marehemu Nughu Lugata ulivyokutwa.

 Mguu wa marehemu Nughu Lugata ukiwa umekatwa.


MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiyu.
Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyake kama mguu wa kushoto na vidole vitatu kuchukuliwa na watu wasiojulikana.
Marehemu alikuwa mkazi wa Gasuma akijishughulisha na kilimo.

Credit to Global Publishers.

No comments:

Post a Comment