Friday, May 16, 2014

BREAKING NEEEEWS: MAJANGA, BOMU JINGINE LALIPUKA NA KUUA WANNE NAIROBI.......


WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.

No comments:

Post a Comment