Wednesday, April 29, 2015

MIILI YA WAUZA MADAWA YA KULEVYA WALIOUAWA INDONESIA YAANZA KURUDISHWA MAKWAO.

Ndugu wa marehemu waliouawa baadaya kukutwa na hatia yakuingiza madawa ya kulevya nchini Indonesia wakiwa ndani ya gari la wagonjwa liliobeba mwili ya ndugu yao mara baada ya kuupokea toka gerezani katika kisiwa cha Nusa Kambangan.

No comments:

Post a Comment