Thursday, June 5, 2014

CHATU WA KICHAWI AKUTWA NYUMBANI KWA TAJIRI ARUSHA

chatu akutwa nyumbani kwa mtu Arusha, mwenye nyumba alipopigiwa simu akasema asiuwawe ni mwanae wa kwanza, imetokea muda mfupi uliopita Arusha, maeneo ya Sakina karibu na Motel 2000 

Mwenye nyumba anaitwa Magesa ana kampuni ya clearing and fowarding nasikia ana hela balaa na ni mtu wa dini sana.pembeni ya nyoka imekutwa karatasi imeandikwa Quran.
Wananchi wameamua kumuua tu.


 Hii ni picha ya chatu huyo baada ya kukutwa na wananchi wa eneo hilo.

 Pamoja na Magesa kutaka chatu wake asiuawe lakini wananchi walimkatakata mapanga na kumuua chatu huyo

 Kitambaa chenye maneno ya kiarabu alichokuwa amefungwa nacho nyoka huyo.

Nyoka huyo akiwa ndani ya uzio wa nyumba alimokutwa

Mzoga wa nyoka huyo unavyoonekana pichani baada ya kukatwakatwa na wananchi

Mwananchi akiwa amebeba mzoga wa nyoka huyo mara baada ya kuuawa

No comments:

Post a Comment