Wednesday, June 11, 2014

KANGI LUGOLA AFANYA KITUKO BUNGENI.... AVUNJA KANUNI YA MAVAZI

Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.


Mbunge wa Mwibara akivua bango alilokuwa ameva wakati akiomba kura kwa wabunge za kuwania kuteuliwa kuwa  Mjumbe wa Tume ya Utumishi  Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 11, 2014. Aliamriwa kuvua bango hilo na Spika wa Bunge Anne Makinda.

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mwanza Mjini, Ezekiel Wenje , Bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2014.

No comments:

Post a Comment